ABOUT JV LOGISTICS CO. LTD

JV Logistics Company Limited was conceived since 2010 in Dar es Salaam. It is a privately owned company with its scope in transportation of aggregates and machinery hiring. The company is committed to customer satisfaction, individuality and team work. We are confident of our collective skill and meet challenges with innovative solution.

Professional expertise, experience in both local, international market and sources gave us competitive edge in terms of price, quality and delivery time.

Jumatatu, 17 Juni 2013

IDD AZAN, HALIMA MDEE WAJIANDAA KUWAKABILI WOLPER NA JB





Mbunge wa Kawe (Chandema), Halima Mdee ameanza maandalizi yake ya pambano la ngumi dhidi ya staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper.
Pambano la wakali hao litafanyika Julai 7, siku ya Sabasaba katika Tamasha la Matumaini kwenye Uwanja we Taifa jijini Dar es Salaam.

Mdee amekuwa akiendelea na mazoezi yak echini ya Mbunge wa CCM, Idd Azzan ambaye pia siku hiyo atapanda ulingoni kutoana jasho na mkali wa Bongo Movie Jacob Steven ‘JB’



Katika tamasha hilo mwaka jana Wolper alionyesha uwezo kuliko Wema Sepetu katika pambano lao lililosisimua.

Lakini Mdee ametamba kumpoteza Wolper katika pambano lao hilo la Julai 7.
Mdee anaendelea na mazoezi mjini Dodoma, wakati Wolper anaendelea na mazoezi jijini Dar es Salaam.
Bofya hapa kusoma zaidi: http://vitukovyamtaa.blogspot.com/2013/06/idd-azan-halima-mdee-wajiandaa.html#ixzz2WTyIL881

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...